FIFA World Cup 2018: Urusi 5-0 Saudia


 



Urusi 1-0 Saudia


bao la kwanza la kombe la dunia 2018...
Yuri Gazinskiy ndio mfungaji wa bao la kwanza la kombe la duni.
Kiungo huyo wa kati wa klabu ya Krasnodarafunga kichwa kizuri kutoka kwa krosi iliopigwa na Aleksandr Golovin

Urusi 2-0 Saudia

Saudia yalemewa na Urusi
Urusi inatawala mechi katika kila kiungo hapa huku Saudia wakilazimika kulinda lango lao
GOOOOAL!!


Kipindi cha kwanza chakamilika Urusi 2-0 Saudia

Kipindi cha pili kinaanza Urusi 2-0Saudia


Saudi Arabia imeshindwa kutekeleza hata shambulio moja

Saudi Arabia imeshindwa kutekeleza hata shambulio moja katika lango la Urusi

 

Saudia yafanya shambulio la kwanza la mechi

Saudia yaamka na kuanza mashambulio

Timu ya Taifa la Saudia sasa imeanza kushambulia lango la Urusi

Urusi 3-0 Saudia

Goooooal... Urusi yapata bao la tatu dhidi ya Saudia

Bao la tatu lililofungwa na Urusi

Urusi inaendelea kutawala mpira huku Saudia ikiwachwa bila jibu

Urusi inaendelea kutawala mpira huku Saudia ikiwachwa bila jibu

Urusi yafunga bao la tano dhidi ya Saudia kabla ya mechi kukamilika

Urusi 5-0 Saudia na Mechi inakamilika

 


Post a Comment

0 Comments